Mamia ya wafuasi wa IS wakamatwa Uturuki

Raia wawili wa Azerbaijan na wengine 28 wa Syria, ni miongoni mwa waliokamatwa katika mji wa Mashariki wa Erzurum na mji wa Bursa uliopo Kaskazini Magharibi.
Wengine walikamatwa katika mji mkuu Ankara siku ya Jumamosi.
Mpiganaji wa IS aliwaua watu 39 katika ukumbi mmoja wa usiku uitwao Reina mjini Istanbul, na tukio hilo bado limeacha simanzi kubwa.
Labels: SOCIAL MEDIA
1 Comments:
Hilo nalo neno
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home